Jumamosi, 22 Agosti 2015
Maneno ya Master Jay juu ya wasanii wasio na vipaji na maproducer
Master Jay
Mtayarishaji muziki mkongwe nchini ambae pia ni miongoni mwa majaji katika shindano kubwa nchini la kusaka vipaji vya uimbaji EBSS (Epic Bongo Star Search) , Master Jay, amesema hakuna ubaya wowote kwa maproducer wa sasa kumrekodi msanii bila kujali hata kipaji chake kwasababu
ILE COLLABO ILIYOKUWA IKISEMWA SANA TANGU TUZO ZA MAMA YA DIAMOND NA MAFIKIZOLO ITAITWA 'TELL EVERY ONE'
Baada ya kuweka headlines siku ya jana kwa kufanya collabo na superstaa kutoka Marekani Ne-Yo, staa wa Bongo Flava Diamond Platnumz yupo njiani kuelekea South Africa kufanya
Alhamisi, 20 Agosti 2015
KAKA SUNGURA 'RABBIT' TOKA KENYA ATANGAZA BEI ZA PRODUCTION ZAKE
Rabbit
Kaka Sungura ndiyo jina analojulikana ni rapa kutoka Kenya anayesifika kwa uandishi wa mistari katika mtindo wa Poetry anaemiliki pia rebo ya Kaka Empire amabayo inamiliki wasanii kadhaa nchini humo kama Avril toka Kenya na baadhi kama Rich Mavoko toka Tanzania..
Kaka Sungura ndiyo jina analojulikana ni rapa kutoka Kenya anayesifika kwa uandishi wa mistari katika mtindo wa Poetry anaemiliki pia rebo ya Kaka Empire amabayo inamiliki wasanii kadhaa nchini humo kama Avril toka Kenya na baadhi kama Rich Mavoko toka Tanzania..
NAHREEL KUFUNGUA CHUO CHA MAFUNZO YA PRODUCTION
Nahreel
Producer mkali kutoka studio ya 'The Industry' Bongo, Nahreel kumbe
yupo kwenye mpango wa kufungua chuo cha Production ya muziki?? amesema
mafunzo ya production yataanza hivi
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)