Social Icons



Jumatano, 5 Agosti 2015

NAY WA MITEGO AAMUA KUTUMIA NAMBA ZA 966 KAMA UTAMBULISHO WAKE HATA KATIKA VITU VYAKE IKIWEMO MAGARI


                                                                       Nay wa mitego

Nay wa Mitego licha ya kuanza kuzitaja namba za 966 kwenye nyimbo zake, amesema pia atakua akitumia namba hizo hata katika magari yake..amesema huwa anatoa oda na kusubiri…Ni kitu ambacho ameamua iwe hivyo kwa gharama yoyote ile. Nay ambae sasa anatamba na wimbo wake
unaokwenda kwa jina la SINA MUDA ni miongoni mwa wasanii ambao wanafanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya nchini tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

Hakuna maoni:

FOOTBALL NEWS

 
Blogger Templates