Social Icons



Alhamisi, 20 Agosti 2015

KAKA SUNGURA 'RABBIT' TOKA KENYA ATANGAZA BEI ZA PRODUCTION ZAKE

                                                                      Rabbit

Kaka Sungura ndiyo jina analojulikana ni rapa kutoka Kenya anayesifika kwa uandishi wa mistari katika mtindo wa Poetry anaemiliki pia rebo ya Kaka Empire amabayo inamiliki wasanii kadhaa nchini humo kama Avril toka Kenya na baadhi kama Rich Mavoko toka Tanzania..


Rabbit amaefunguka na kutoa gharama za kurekodi audio na video chini ya kampuni hiyo ya Kaka Empire.

Rabbit amesema kwa studio ya ukitaka kurekodi audio unatakiwa kutoa kama laki 3 ya Tanzania hadi milioni 1, ila kwa upande wa Video ni kuanzia milioni 2 na kuendelea ambayo inajumuisha kila kitu mpaka mzigo unakamilika.

Hakuna maoni:

FOOTBALL NEWS

 
Blogger Templates