Jumamosi, 22 Agosti 2015
Maneno ya Master Jay juu ya wasanii wasio na vipaji na maproducer
Master Jay
Mtayarishaji muziki mkongwe nchini ambae pia ni miongoni mwa majaji katika shindano kubwa nchini la kusaka vipaji vya uimbaji EBSS (Epic Bongo Star Search) , Master Jay, amesema hakuna ubaya wowote kwa maproducer wa sasa kumrekodi msanii bila kujali hata kipaji chake kwasababu
wakati huu muziki umekuwa wa kibiashara zaidi.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni