Social Icons



Alhamisi, 20 Agosti 2015

NAHREEL KUFUNGUA CHUO CHA MAFUNZO YA PRODUCTION



                                                                            Nahreel

Producer mkali kutoka studio ya 'The Industry' Bongo, Nahreel kumbe yupo kwenye mpango wa kufungua chuo cha Production ya muziki?? amesema mafunzo ya production yataanza hivi
karibuni na yatachukua wanafunzi wengi ambao wanahitaji kujifunza mambo hayo.

Nahreel amesema kwa yeyote atakayehitaji kujiunga taarifa zitawekwa kwenye mitandao ya kijamii, sifa za mtu anayetaka kujiunga kwanza ni kuwa na idea ya muziki ama awe anapenda muziki.
Kingine amesema ana mpango wa kuanza na wanafunzi 30 na kuendela na ada itakua si kubwa ili kila mtu ambaye atapenda kujiunga ajiunge na masomo hayo… hii ni good news mtu wangu !!

Hakuna maoni:

FOOTBALL NEWS

 
Blogger Templates