Jumamosi, 22 Agosti 2015
Maneno ya Master Jay juu ya wasanii wasio na vipaji na maproducer
Master Jay
Mtayarishaji muziki mkongwe nchini ambae pia ni miongoni mwa majaji katika shindano kubwa nchini la kusaka vipaji vya uimbaji EBSS (Epic Bongo Star Search) , Master Jay, amesema hakuna ubaya wowote kwa maproducer wa sasa kumrekodi msanii bila kujali hata kipaji chake kwasababu
ILE COLLABO ILIYOKUWA IKISEMWA SANA TANGU TUZO ZA MAMA YA DIAMOND NA MAFIKIZOLO ITAITWA 'TELL EVERY ONE'
Baada ya kuweka headlines siku ya jana kwa kufanya collabo na superstaa kutoka Marekani Ne-Yo, staa wa Bongo Flava Diamond Platnumz yupo njiani kuelekea South Africa kufanya
Alhamisi, 20 Agosti 2015
KAKA SUNGURA 'RABBIT' TOKA KENYA ATANGAZA BEI ZA PRODUCTION ZAKE
Rabbit
Kaka Sungura ndiyo jina analojulikana ni rapa kutoka Kenya anayesifika kwa uandishi wa mistari katika mtindo wa Poetry anaemiliki pia rebo ya Kaka Empire amabayo inamiliki wasanii kadhaa nchini humo kama Avril toka Kenya na baadhi kama Rich Mavoko toka Tanzania..
Kaka Sungura ndiyo jina analojulikana ni rapa kutoka Kenya anayesifika kwa uandishi wa mistari katika mtindo wa Poetry anaemiliki pia rebo ya Kaka Empire amabayo inamiliki wasanii kadhaa nchini humo kama Avril toka Kenya na baadhi kama Rich Mavoko toka Tanzania..
NAHREEL KUFUNGUA CHUO CHA MAFUNZO YA PRODUCTION
Nahreel
Producer mkali kutoka studio ya 'The Industry' Bongo, Nahreel kumbe
yupo kwenye mpango wa kufungua chuo cha Production ya muziki?? amesema
mafunzo ya production yataanza hivi
Jumanne, 18 Agosti 2015
BIRDMAN AENDELEA KUANDAMWA NA KESI NA KWA MARA HII PRODYUZA WAKE AMEMFIKISHA MAHAKANI
Birdman
Producer wa Birdman, DVLP anamshitaki rapper huyo dhidi ya deni la dola 200,000 (sawa na Tzs. Million 400) kwa kazi za production ambazo boss huyo wa Cash Money Records hakumlipa.
Producer wa Birdman, DVLP anamshitaki rapper huyo dhidi ya deni la dola 200,000 (sawa na Tzs. Million 400) kwa kazi za production ambazo boss huyo wa Cash Money Records hakumlipa.
Producer DVLP ndiye aliyesimamia wimbo wa “develop” lakini Birdman
Jumamosi, 8 Agosti 2015
#Exclusive Part II: Nilikua sijui hii ya Huddah Monroe na Prezzo, mtoto ...
Usikose kutazama hit's music kila siku juma tatu hadi ijumaa kuanzia saa 6:00 pm mpaka saa 8:00 pm kwa burudani zaidi kutoka kwa professional dj's
Jumatano, 5 Agosti 2015
Je, UNGEPENDA KUSIKIA WIMBO WA WASANII GANI WALIOSHIRIKIANA....
Nafasi hii inaweza kuwa nzuri ambapo sasa inaweza kuwakutanisha mabigwa wa michano hapa bongo ambao tayari wametoa kauli za kila mmoja kumkubali mwenzake na kazi anayoifanya. hapa tunawazungumzia Mr. Blue staa wa AYAYA akiwa na Navio wa UGANDA.
NAY WA MITEGO AAMUA KUTUMIA NAMBA ZA 966 KAMA UTAMBULISHO WAKE HATA KATIKA VITU VYAKE IKIWEMO MAGARI
Nay wa mitego
Nay wa Mitego licha ya kuanza kuzitaja namba za 966 kwenye nyimbo zake, amesema pia atakua akitumia namba hizo hata katika magari yake..amesema huwa anatoa oda na kusubiri…Ni kitu ambacho ameamua iwe hivyo kwa gharama yoyote ile. Nay ambae sasa anatamba na wimbo wake
Jumatatu, 3 Agosti 2015
Jumapili, 2 Agosti 2015
MUZIKI UNAVYOWEZA KUBADIRI MAISHA YA WASANII. JE, SHETTA KABADIRIKA VIPI?
Ukubwa wa hit singo za wasanii wa Tanzania huwa zinabadilisha vitu vingi sana ukiachana na vile vinavyoonekana moja kwa moja vipo ambavyo pengine mpaka upate nafasi ya kuviuliza ndipo ufahamu.
Shetta mkali kwenye game ya Bongo Fleva kwenye Exclusive interview
FID Q AIKATAA SIASA KWA KUOGOPA UONGO WAKE.
Star na mkali wa muziki wa Hip Hop Africa Farid Kubanda a.k.a Fid Q ameeleza kuwa hana mpango wowote wa kuingia katika siasa za kibongo licha ya kuombwa na watu wengi kugombea nafasi yoyote katika siasa.
Maelezo hayo ameyaongea baada ya kuonekana wimbi kubwa la wasanii
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)