Social Icons



Ijumaa, 31 Julai 2015

DOWNLOAD NA TAZAMA VIDEO MPYA YA ERICOM PMP - MY AFRICAN QUEEN

DOWNLOAD NA TAZAMA SONG YA BAHATI ft WYRE & KING KAKA - KUCHU KUCHU (Official Video)

BASATA YAMFUNGIA SHILOLE KUTOFANYA MZIKI KWA MWAKA MZIMA.




Habari zilizofika hivi punde kutoka BASATA July 30 2015 kutoka Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) ni kwamba baraza hili limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.

Barua iliyoifikia millardayo.com ambayo imeandikwa kutoka BASATA imesema

Dj Khaled AWAKUMBUSHA Dj's KUWAPA SAPOTI WASANII BILA KUJARI HALI ZAO NA KUWEKA CHUKI PEMBENI

                                                                   Dj KHALED

Mvutano wa watu kutokupeana support kwenye game ya muziki haipo tu kwa wasanii Tanzania, hali hiyo ipo hata kwa wasanii wa Marekani pia tena kwa wao hata ma DJ’s kupeana support kwenye kazi zao sometimes inakuwa ngumu.

Alhamisi, 30 Julai 2015

TAZAMA HAPA ALICHOKISEMA BIRDMAN JUU YA UKWELI KUHUSU BEEF YAKE NA LIL WAYNE. INTERVIEW WITH ANGEL MARTINEZ POWER 105.1 (07/29/2015)

   
Kumekuwa na stori nyingi sana kuhusiana na ugomvi wa Lil Wayne na Birdman, tukasikia kuwa Lil Wayne anataka kuondoka Cash Money Records kwasababu Birdman hataki kumlipa hela yake.
Tukasikia ugomvi umefikishwa Mahakamani na Lil Wayne

Jumanne, 28 Julai 2015

MUDDY CARS SOUND WASILIANA NAO KUPATA SOUND SYSTEM KALI NDANI YA GARI LAKO SASA..

SNOOP DOGG AKAMATWA SWEDEN KWA KOSA LA DAWA ZA KULEVYA...SOMA ALICHOKISEMA HAPA

                                                                     Snoop Dogg

Kusikia Rapper Snoop Dogg kukamatwa na Polisi kisa dawa za kulevya sio story mpya kabisa, stori ni kwamba jamaa alipokuwa kwenye show Sweden, baada ya kumaliza alikamatwa na Polisi wakati akiwa anajiandaa kurudi zake Marekani.
Snoop alikamatwa akihusishwa na kosa la kutumia dawa za kulevya

TAZAMA VIDEO INAYOMWONGELEA BOBBI KRISTINA, ALIYEKUWA MTOTO WA WITNEY HOUSTON. #FinalPeace

Bobbi Kristina familia yake yathibitisha kifo chake… #RIP Bobbi Kristina #FinalPeace

                                                              Bobbi Kristina

Imepita miezi sita toka Bobbi Kristina mtoto wa marehemu Whitney Houston akutwe amepoteza fahamu bafuni kwake, na toka kipindi hicho amekuwa kwenye coma kwa muda mrefu hospitalini kabla ya familia yake kumhamishia nyumbani baada ya kuona hakuna matumaini ya ziada.

Picha zenye mvuto mwingine Instagram Diamond na Zari

Lil Wayne na Birdman....Birdman hakuhusika kabisa anadai kutohusika na lolote!?


Ni mwezi mmoja umepita toka Lil Wayne na Birdman waziandike headlines baada ya ugomvi wao kuwa mkubwa kufikia Birdman kulipiga risasi Tour bus la Lil Wayne ili kumuua.
Polisi wanasema Birdman na rappa Young Thug

DOWNLOAD NA TAZAMA TRACK HII YA Abela Kibira - Ball and Chain - 2012 - Directed By SharpestMemory

DOWNLOAD NA TAZAMA VIDEO MPYA YA Meek Mill - All Eyes On You (Music Video) Ft. Nicki Minaj & Chris Brown

                                           


 Hii ndiyo video iliyomshirikisha Chris Brown na bila kumsahau mrembo na rapper wa YMCMB 'Nick Minaj' ambae pia ni mpenzi wa Rapper kutoka MMG 'Meek Mill'. Track hii imeshika nafasi za juu ndani ya chati za billboard na kuwafanya wakali hao kurudi katika headlines za habari mbalimbali duniani kote.

Unaweza kuicheki hapa na kuidownload.

Mrisho Mpoto kuikumbuka Shule yake ya Msingi Songea. NAMTUMBO



                                                                Mrisho Mpoto

Mastaa hujisikia vizuri wakati mwingine wakitembelea kwenye Shule ambazo walisoma zamani… wanafunzi nao hujisikia furaha kusoma kwenye Shule ambazo mastaa wamesoma, wengine wakiona hivyo wanapata moyo kwamba hata wao wanaweza kuwa mastaa siku moja.

Meek Mill na Nicki Minaj ndani ya video moja 'all eyes on me'..



Wiki chache zilizopita Meek Mill aliweka headlines kubwa na wimbo wake wa All Eyes on You aliomshirikisha girlfriend wake Nicki Minaj na RnB Superstar Chris Brown, wimbo ambao

Jumapili, 26 Julai 2015

Izzo, Bizness, Stamina, Godzillah kwenye usiku wa Rap Festival Dar Live

                                                                      Izzo Business



July 25 2015  itabakia kuwa historia kubwa kwa wakazi wa 88.5 kwa kupokea shangwe za burudani kutoka kwa, Izzo Bizness, Darasa, Stamina,Young Killer, Roma Mkatoliki,Godzillah,Nikki Mbishi  kwenye  viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam.
Show hiyo iliyopewa jina la Rap Festival iliandaliwa na mtangazaji wa Clouds TV Nickson George aka Lugha

DOWNLOAD NA TAZAMA HAPA HIT MPYA YA Victoria Kimani - Two of Dem

                                         

Moja ya mstaa wa kike wanaofanya vyema katika game ya burudani ni pamoja na Victoria Kimani kutoka Kenya’ Prokoto’ ni moja ya wimbo wake uliovuma sana akiwashirikisha mastaa wa kibongo Diamond pamoja na Ommy Dimpoz.

MIPANGO YA CHEGE 2015. AZIPANIA HEADLINES ZA AFRIKA


Malengo ya Chege yameendelea kuvuka mipaka na sasa lengo lake analofanyia kazi ni kutaka kuvuka mipaka na kuziunganisha nchi mbalimbali za Afrika kuupokea

WASILIANA NASI KUPITIA BLOG HII.

Wasiliana na ofisi zetu zilizopo mjini kahama na unaweza kufika moja kwa moja ofisini kwetu mkabala na Benki ya Azania.

Kama una Matangazo,
                 Kipindi binafsi,
                 Makala,
                 Ama unahitaji kuwa mmoja wa wanajamii hii fadhari usisite kuwasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa facebook ambao ni

                                     www.facebook.com/sscnTv123.

Au kwa simu namba: +255 757 847 883

                                   +255 766 591 904

Email:                         hitsmusic11@gmail.com


Asante kwa ushiriki wako.

Jumamosi, 25 Julai 2015

CHRIS BROWN ARUHUSIWA KUONDOKA UFILIPINO BAADA YA KUKAMATWA SIKU NA KUWEKWA KIZUIZINI KWA SIKU MBILI.


Baada ya kuzuiliwa kutoka nchini Ufilipino kwa siku mbili hatimaye Chris Brown kaachiwa huru na kuondoka salama kabisa… msanii huyo ambaye alikuwa mjini Manila kwa ajili ya show alizuiliwa kuondoka siku ya Jumatano kutokana na madai ya kuwa hakutimiza wajibu wake wa kimkataba kipindi cha Mwaka mpya kuingia 2015.

TAZAMA VIDEO MPYA YA NAVY KENZO 'GAME' Ft. VANESSA MDEE 'V-Money' NA DOWNLOAD HAPA.

                                      

Navy Kenzo wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa 'GAME' wakiwa wamemshirikisha Vanessa Mdee ndani,
Kama ungependa kuiona bonyeza Play kuicheki hap juu.

VIDEO YA STAA MWINGINE WA BONGO FLEVA IMEGONGA NAMBA MOJA KWENYE COUNTDOWN YA NIGERIA !!


Muziki wa Tanzania unazidi kufanya vizuri kwenye nchi za Kiafrika mtu wangu, safari ya kuusogeza huu muziki kwenye level hizo inafanywa na mastaa wengi na wanaongezeka kila siku… Majina ya Vanessa Mdee na Diamond Platnumz kwenye Tuzo za MTV MAMA Awards 2015 ni ushahidi tosha kwamba YES, tunasogea mdogomdogo.
Good news ni kuwa

PESA ALIYOLIPWA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA VIDEO YAKE KUCHEZWA KWENYE TV YA MAREKANI



       Diamond alipwa mpunga mwingi kwa wimbo wake kuchezwa BET.

Ni utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye TV na Radio ambapo hii imemtokea Mtanzania Diamond Platnumz baada ya wimbo wake kuchezwa kwenye TV maarufu kwa burudani, BET ya Marekani.

Tazama hii video hapo juu ujue hizo milioni alizozichukua Diamond.

VIDEO YA RAISI OBAMA ALISALIMIA WAKENYA KWA KISWAHILI KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO WA GES HUKO KENYA.…



                         Video Obama akisalimu kwa KISWAHILI. 

Ndege ya Rais Obama ilitua July 24 2015 saa mbili usiku Jomo Kenyatta International Airport, Historia ikaandikwa kwa Rais huyo wa kwanza wa Marekani kutembelea Kenya.
Huwa nafuatilia sana stori za Obama na nikagundua kwamba ni mmoja ya Marais wacheshi sana na wanaopenda stori za utani utani hivi wakati mwingine.
July 25 2015 Rais Obama amefungua Kikao cha Global Entrepreneurship Summit Nairobi Kenya, baada ya kukaribiswa na mwenyeji wake, akasalimia kwa kiswahili cha Wakenya kabisa>>>> ‘Niaje wasee” >>>


Hiki hapa kipande cha Video wakati Rais Obama anasalimia kwa kiswahili.

Ijumaa, 24 Julai 2015

EXCLUSIVE: VIDEO YA DAVIDO AKIONGEA KUHUSU ILE BEEF YAKE NA DIAMOND PLATNUMZ



                                          
Msikilize Davido akizungumzia beef yake na Diamond Platnum baada ya wawili hao kuonekana hawana mahusiano mazuri hasa machoni pa wapenzi wa muziki waliokuwa wamekwisha kuanza kuupenda mziki wao wakiwa pamoja.

TAYLOR SWIFT NAE AMUOMBA NICKI MINAJ MSAMAHA KWA KUMSHAMBULIA TWITTER..!



                                               Tylor Swift                      Nick Minaj


Kumekuwa na mivutano kati ya wasanii wa Kimarekani kwenye mtandao wa Twitter, tumeyaona ya Meek Mill akimshabulia Drake na ya Nicki Minaj kushambulia tuzo za MTV VMA’s 2015.

Baada ya blogs na websites nyingi kumuunga mkono Nicki Minaj juu ya tuzo hizo, msanii Taylor Swift ameaanza kuelewa sababu iliyomsukuma Nicki kuongea vile mtandaoni. Na kuonyesha kuwa hana kinyongo msanii huyo alipost ujumbe twitter akisema…

Alhamisi, 23 Julai 2015

CHRIS BROWN STILL STUCK IN THE PHILIPINES



In a profanity-laced, now-deleted video, Grammy-winning singer Chris Brown vented his frustration Thursday (July 23) at being stuck in the Philippines for a second day after running afoul of a politically powerful religious group that filed a fraud complaint against him for a canceled concert.
Brown was still in the country Thursday evening and had not applied for the emigration clearance he

TAZAMA SSCN TV LIVE KWA VIPINDI VYOTE UKIWA ONLINE KWA KIFAA CHOCHOTE KINACHO SAPOTI INTERNET

Sasa unaweza kutazama vipindi vyetu vyote ukiwa na simu yako ya mkononi, Tablet, Laptop na kompyuta ya nyumbani kwa kuingia katika blog yetu hii ya 'www.hitsmusicshow.blogspot.com' na kutazama vipindi vyote vilivyopita na vinavyoendelea muda huo.

DOWNLOAD NA TAZAMA VIDEO MPYA YA DONALD FT DIAMOND PLATINUM HAPA

LYRICS ZA WIMBO WA JAY Z ALIOITAJA TANZANIA KATIKA MISTARI YAKE

Jay Z akiwa na Nas
 Artist:Jay-Z Song: 
Oh my God 
Album: Kingdom Come 
Released: 2006

Lyrics

You are tuned in
To the greatest
Young H-O-V
Let's go get em again, Just
Oh my God

TAZAMA KIPINDI CHAKO CHA HITs MUSIC NDANI YA SSCN TV KUANZIA JUMATATU HADI IJUMAA, SAA 12.00 HADI SAA 2.00 USIKU

Katika Tv yako utakutana na DVJ Mkali ambapo utapa kutazama video kali zinazokita town kuanzia ndani ya Bongo hadi Afrika Mashariki.

UTAMBULISHO WA WASHINDANIA (NOMINEES) TUZO ZA MTV’s VIDEO MUSIC AWARDS (VMA)MWAKA HUU ZAZUA UTATA NA UGOMVI MKUBWA KATI YA MSANII NICK MINAJ NA TAYLOR SWIFT.


Rapa Kutoka marekani Nick Minaji amejikuta katika vichwa vya habari baada ya hapo jana usiku kutumia mtandao wake wakijamii wa twitter kutuma maneno ambayo hasa yalionekana kutovumilika na mwimbaji

Jumatano, 22 Julai 2015

Meek Mill Blasts Drake for Using a Ghostwriter, Rick Ross and Chris Brown Weigh In on the Beef

Not to be outdone, Nicki Minaj’s boyfriend Meek Mill went off on Drake on Twitter—just hours after Nicki’s VMAs tirade aimed at Taylor Swift. On Kendrick Lamar’s brilliant rap song “King Kunta,” the Compton MC

FULL SHANGWE NDANI YA CLUB MASAI NDANI YA GOLD CITY KAHAMA WE HERE TONIGHT


Ndani ya Club Masai katika mji wa Kahama The Gold City kutakuwa na bonge la Party.
Jongea pale ndani tuwe pamoja........
Kutakuwa na Dj's wakali wenye kutoa mixing za nguvu mpaka Majogoooooooooo.....
Unakosaje sasa........................

DOWNLOAD ERICOM P.M.P mr AFRICAN FLAVOUR- 2NAFANYAGA #(Official video)FAST JET

P UNIT WEKA WEKA-OFFICIAL VIDEO

Miley Cyrus to host 2015 Video Music Awards


                                                                Miley Cyrus



On Monday, MTV announced that Miley Cyrus will host the 2015 Video Music Awards.
Actually, Cyrus announced it Millennial-style: on her Twitter and Instagram accounts, wearing a sign that read, 'MTV won't let me perform ... so I'm hosting this year's VMA's.' Naturally, her photo announcement

List na majina ya washindi MTV Africa Music Awards 2015 (Mama).




Tanzania tunajivunia kuwa na majina ya wasanii wawili yaliyotuwakilisha katika tuzo za MTV Africa Music Awards 2015 (MAMA).
Wasanii hao ni Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee-Money’
Tuzo hizo zimetolewa huko mjini Durban, South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.

Jumanne, 21 Julai 2015

USIKOSE KUTAZAMA KIPINDI CHA HITS MUSIC SSCN TV DVJ MKALI KUHUSIKA ZAIDI

http://www.hitsmusicshow.blogspot.com/news&artist.html

MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO, GEITA

   Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM, jana jioni katika viwanja vya Mji mdogo wa Muganza, wilayni Chato Mkoani Geita, Mh. Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.
  Dkt. Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM. Mh. Magufuli yuko jimboni kwake Wilayani Chato kuwaaga na kuwashukuru Wananchi wake kwa kumpa ridhaa ya…

Huu ni Mwezi mgumu kwa Mwanamuziki Diamond Platnumz..Angalia hii Ratiba Hapa

King of Afro pop anazidi kupata tatizo la kutokupumzika kutokana na kuwa hot cake ambapo kila sehemu wanamuhitaji akatoe show licha ya kuwa na gharama kubwa sana anayotoza kuperform kila show

Sasa >> Nana media tour Nigeria ambapo amesafiri na team yake watu 5, na gharama zote zimelipwa na cocacola mpaka watakapo rudi Tanzania kupitia campaign ya #Iamareason

3, July >> Nigeria road to mama

4, July >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya Yanga, jangwani

8, July >> Singida, with Mohammed Dewji

18, July >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo atatumbuiza na NEYO

24, July >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa nje ya dares salaam
30,000/=, mpaka 300,000/=

25, July >> South Africa, African achievers awards ambapo amekuwa nominated kama Most inspiring icon

ROSE MUHANDO: NAFIKIRIA KURUDI KWENYE UISLAM



Muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando.
NYOTA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando amesema hakuna jambo jema alilojifunza tangu abadili dini kutoka kwenye Uislamu na kuwa Mkristo zaidi ya ‘ugaidi’ wa kiroho mbaya na sasa anaangalia namna ya kurudi katika imani yake ya kwanza.

Akizungumza na Amani hivi karibuni, Rose alisema hana furaha katika maisha ya Ukristo tofauti na alivyokuwa akielezwa wakati akihubiriwa kuokoka.

Pia Rose alikwenda mbali zaidi kwa kuwarushia madongo baadhi ya wachungaji kwa kumhukumu kwa maneno ya walimwengu bila kutumia hekima za kidini.

“Wakati nahubiriwa kuokoka, niliambiwa nitakutana na upendo lakini matokeo yake nimekuwa mtu wa ‘kupigwa mashuti’ tu.

“Mfano, mtu anakualika kwenye tamasha, kwa bahati mbaya unashindwa kufika na unampa taarifa lakini kesho yake unasikia umetapeli, wameshindwa kuona hata jema moja kwangu? Nafikiria kurudi kwenye dini yangu, naamini nitapata faraja,” alisema Rose.

Mwimbaji huyo amekuwa akikumbwa na skendo ya utapeli ambapo hudaiwa kupokea fedha kwa ajili ya kutumbuiza kwenye matamasha ya dini halafu kuingia mitin

FOOTBALL NEWS

 
Blogger Templates