Jumamosi, 25 Julai 2015
PESA ALIYOLIPWA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA VIDEO YAKE KUCHEZWA KWENYE TV YA MAREKANI
Diamond alipwa mpunga mwingi kwa wimbo wake kuchezwa BET.
Ni utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye TV na Radio ambapo hii imemtokea Mtanzania Diamond Platnumz baada ya wimbo wake kuchezwa kwenye TV maarufu kwa burudani, BET ya Marekani.
Tazama hii video hapo juu ujue hizo milioni alizozichukua Diamond.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni