Social Icons



Jumanne, 28 Julai 2015

Mrisho Mpoto kuikumbuka Shule yake ya Msingi Songea. NAMTUMBO



                                                                Mrisho Mpoto

Mastaa hujisikia vizuri wakati mwingine wakitembelea kwenye Shule ambazo walisoma zamani… wanafunzi nao hujisikia furaha kusoma kwenye Shule ambazo mastaa wamesoma, wengine wakiona hivyo wanapata moyo kwamba hata wao wanaweza kuwa mastaa siku moja.

Mrisho Mpoto ametembelea Wilaya Namtumbo, Ruvuma ambako alisoma Shule ya Msingi akaona asiwaache hivihivi, kapiga story na Wanafunzi alafu akawaachia na zawadi pia.

Hakuna maoni:

FOOTBALL NEWS

 
Blogger Templates