Social Icons



Jumapili, 26 Julai 2015

Izzo, Bizness, Stamina, Godzillah kwenye usiku wa Rap Festival Dar Live

                                                                      Izzo Business



July 25 2015  itabakia kuwa historia kubwa kwa wakazi wa 88.5 kwa kupokea shangwe za burudani kutoka kwa, Izzo Bizness, Darasa, Stamina,Young Killer, Roma Mkatoliki,Godzillah,Nikki Mbishi  kwenye  viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam.
Show hiyo iliyopewa jina la Rap Festival iliandaliwa na mtangazaji wa Clouds TV Nickson George aka Lugha

Hakuna maoni:

FOOTBALL NEWS

 
Blogger Templates